Makala Mpya
Jeshi la Congo lasema
Jeshi la Congo lasema, wasiwasi hauko tena mashariki mwa nchi hiyo Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuwepo hali ya amani huko Mashariki mwa nchi hiyo. Msemaji wa oparesheni ya kurejesha hali ya amani katika maeneo ya Mashariki mwa Kongo alisema hapo jana kuwa, jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kurejesha hali ya amani
Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu aonana na wajumbe wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei akiwa pamoja na Rais Ahmadinejad (kushoto) na Sheikh Hashemi Rafsanjani (kulia) Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, baadhi ya masuala muhimu ya nchi yanatatuliwa na Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya
Wanafunzi wafukuzwa shule
Wanafunzi saba wafukuzwa shule kwa kulawiti wenzao Dar Na Beatrice Shayo 8th April 2012 Sasa kufikishwa mahakamani Wanafunzi saba wanaosoma Shule ya Msingi Yombo Buza, jijini Dar es Salaam wamefukuzwa shule na wanatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya kutajwa na wanafunzi wenzao kuwa ni vinara wa kuwalawiti wenzao. Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Steven Kailembo, aliithibitishia
Dk Shein aongoza Karume Day
Dk Shein aongoza dua Karume Day Na Mwinyi Sadallah 8th April 2012 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka shada la maua katika kaburi la muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume. Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, jana aliongoza wananchi na viongozi wa
Mume amuua mkewe
Mume amuua mkewe kwa shoka Na Sonyo Mwenkale 8th April 2012 Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Kideleko wilayani Handeni Mkoa wa Tanga, Amina Mbwego (35), ameuawa kinyama kwa kukatwa shoka shingoni na mumewe kwa madai ya wivu wa mapenzi. Inadaiwa mume huyo aliyetajwa kuwa ni Joseph Wiliam (26), mkazi wa mkoani Dodoma ambaye naye
Mazhishi ya Mahundi
Alhaji Mwinyi aongoza mazhishi ya Mahundi Na Moshi Lusonzo 8th April 2012 Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiweka udongo kaburini alipoongoza mazishi ya Inspekta Jenerali wa Polisi Mstaafu Harun Mahundi katika makaburi ya Kinondoni. Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, jana ameongoza viongozi na maofisa mbalimbali wa jeshi la polisi nchini,
Jumapili, Aprili 8, 2012
Jumapili, Aprili 8, 2012 Leo ni Jumapili tarehe 16 Jamadal Awwal mwaka 1433 Hijiria inayosadifiana na tarehe 8 Aprili mwaka 2012 Miladia. Miaka 32 iliyopita mwafaka na siku kama hii ya leo utawala wa Baathi nchini Iraq uliwaua Shahidi Sayyid Muhammad Baqir As-Sadr na dada yake Bintul Huda. Akiwa mtoto Swadri alijifunza Qur’ani Tukufu na
Iran kuendeleza miradi yake ya nyuklia
‘Iran kuendeleza miradi yake ya nyuklia kwa malengo ya amani’ Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesitiza kuwa Iran itaendeleza miradi yake ya nyuklia kwa malengo ya amani. Ali Akbar Salehi ameyasema hayo mjini Tehran alipokutana na kufanya mazungumzo na waziri mkuu wa zamani wa Japan Yukio Hatoyama. Salehi amesema
Iran na Uganda
Iran na Uganda zasisitiza kuhusu udharura wa kuimarisha uhusiano Wabunge wa Uganda na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametaka uhusiano wa nchi hizi mbili uimarishwe katika nyanja mbali mbali. Hayo yamebainika Jumamosi wakati Ujumbe wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (bunge) ukiongozwa na Heshmatollah Falahatpisheh ulipokutana na wabunge wa Uganda mjini Kampala. Wabunge
Afrika yakabiliwa na huduma duni za afya
Afrika yakabiliwa na huduma duni za afya Shirika la Afya Duniani WHO linasema kuwa na afya njema hupelekea watu kuishi maisha bora na marefu kwa faida ya familia na jamii zao. Hata hivyo watu hasa kutoka nchi za Afrika zilizoko kusini mwa Jangwa la Sahara wanakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafaya ambapo umri wa watu





