Makala Mpya

Wanasiasa Tanzania watofautiana kuhusu tamko la Rais Kikwete

Wanasiasa Tanzania watofautiana kuhusu tamko la Rais Kikwete

Wanasiasa Tanzania watofautiana kuhusu tamko la Rais Kikwete la kupinga mjadala kuhusu muungano Na: Salim Swaleh Waziri wa Sheria na Masuala ya Katiba wa Tanzania, Celina Kombani amesema kuwa anaunga mkono tamko la Rais Jakaya Kikwete kwamba maoni ya kuvunjwa muungano hayatapewa umuhimu na tume ya kuandaa rasimu ya katiba mpya. Akizungumza na Radio Tehran

Kenya yaijia juu Marekani

Kenya yaijia juu Marekani

Kenya yaijia juu Marekani kwa kuingilia masuala yake ya ndani Na: Salim Swaleh Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Prof. Sam Ongeri ameitaka Marekani kukoma kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo. Mapema leo Jumamosi balozi wa Marekani Scott Gration alitoa taarifa na kulaani hatua ya polisi ya Kenya ya kuzuia mkutano wa vijana

Mfumuko wa Bei wazidi kuitikisa nchi, wafikia asilimia19.8

Mfumuko wa Bei wazidi kuitikisa nchi, wafikia asilimia19.8

                                                                                        Mfumuko wa Bei umezidi Daniel Mjema, Dodoma MFUMUKO wa bei unazidi kuitikisa nchi huku takwimu zilizotolewa Bungeni jana mjini Dodoma zikionyesha mfumuko huo ukiongezeka kutoka asilimia 13.0 mwezi Julai hadi kufikia asilimia 19.8 ilipofika mwezi Disemba mwaka jana. Kuongezeka kwa mfumuko huo, kumetokana na kuporomoka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania,kupanda kwa bei ya

Waziri aingizia Serikali deni la Sh15 bilioni

Waziri aingizia Serikali deni la Sh15 bilioni

                                                                                     Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) MZIMU wa mikataba mibovu inayoigharimu Serikali mabilioni ya fedha, unaendelea kulitafuna taifa baada ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kupitia Wizara ya Uchukuzi kudaiwa Dola 10 milioni za Marekani (takriban Sh15 bilioni) kutokana na kuvunja mkataba. TPA kupitia Wizara ya Uchukuzi, imejikuta matatani baada ya kuvunja mkataba wa ujenzi

Shirika latumia Sh120 bil kuboresha migomba

Shirika latumia Sh120 bil kuboresha migomba

                                                                                                     Shamba – Migomba Phinias Bashaya,Ngara SHIRIKA la Maendeleo la Ubeligiji (BTC) kwa kushirikiana na Tanzania, limetumia zaidi ya Sh120 bilioni kwa ajili ya mradi wa migomba unaotekelezwa Mkoa wa Kagera na Wilaya ya Kibondo, mkoani Kigoma. Akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya zao la ndizi yaliyofanyika Kijiji cha Rusumo, wilayani Ngara,  Ofisa mradi huo,

Mkakati wa kumng’oa Pinda waiva

Mkakati wa kumng’oa Pinda waiva

 Mbunge wa Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe akiweka sahihi katika fomu ya majina ya wabunge wasiokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana. Kulia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe anayefanya zoezi la kukusanya sahihi za wabunge ili aweze kuwasilisha bungeni hoja kutokuwa na imani na waziri mkuu.

Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Nane Jamadul Awwal mwaka 1433 Hijiria inayosadifiana na terehe 21 April mwaka 2012 Miladia.

Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Nane Jamadul Awwal mwaka 1433 Hijiria inayosadifiana na terehe 21 April mwaka 2012 Miladia.

  Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Nane Jamadul Awwal mwaka 1433 Hijiria inayosadifiana na terehe 21 April mwaka 2012 Miladia. Miaka 33 iliyopita mwafaka na siku kama hii ya leo, Imam Khomein Mwenyezi Mungu amrehemu mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alitoa amri ya kuundwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah).

Sudan yaukomboa mji wa Higlig na kuwafurusha wanajeshi wa Sudan Kusini

Sudan yaukomboa mji wa Higlig na kuwafurusha wanajeshi wa Sudan Kusini

                      Jeshi la Sudan limekomboa mji wa Higlig uliokuwa unakaliwa kwa mabavu na Sudan Kusini.                 Waziri wa Ulinzi wa Sudan, Abdur Rahim Muhammed Hussein amesema kuwa vikosi vya nchi hiyo vimeukomboa mji wa Higlig leo Ijumaa saa 8.20 kwa saa za eneo hilo, baada ya kuwazidi nguvu na kuwafurusha wanajeshi vamizi wa Sudan Kusini.

Makampuni ya Ulaya yalegeza kamba baada ya kuwekewa vikwazo na Iran

Makampuni ya Ulaya yalegeza kamba baada ya kuwekewa vikwazo na Iran

                                                                Hamid Safdel, Mkuu wa Taasisi ya Kukuza Biashara ya Iran Baada ya Iran kutangaza kuyawekea vikwazo vya kutoingiza bidhaa zao, makampuni 100 ya Ulaya kama njia ya kujibu hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuiwekea vikwazo vya biashara, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, makampuni yaliyokumbwa na vikwazo hivyo vya Iran yameitaka Tehran kuangalia upya msimamo

Askari 13 wa serikali wauliwa na makundi ya kigaidi nchini Syria

Askari 13 wa serikali wauliwa na makundi ya kigaidi nchini Syria

 Baadhi ya makundi ya kigaidi yanayofanya machafuko ndani ya Syria kwa msaada wa madola ya kigeni Katika mfululizo wa kuendeleza vitendo vya kigaidi dhidi ya taifa la Syria, makundi ya kigaidi leo yameua askari 13 wa serikali ya Rais Bashar al Assad. Habari zinasema kuwa askari 10 wameuawa baada ya magaidi kuripua bomu katika eneo