Makala Mpya

Masanduku ya kura yaporwa Kodivaa

Masanduku ya kura yaporwa Kodivaa

Kamisheni Huru ya Uchaguzi nchini Ivory Coast imetangaza kuwa, kundi la watu katika eneo la kusini mwa Abidjan hapo jana lilivamia na kupora masanduku ya kura, wakati likiendelea zoezi la kuhesabu kura zilizopigwa katika uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini humo. Msemaji wa Tume Huru  ya Uchaguzi ya Ivory Coast amesema kuwa, karibu watu 200

Uturuki yahusishwa na magendo ya viungo vya Wasyria

Uturuki yahusishwa na magendo ya viungo vya Wasyria

Kanali ya Televisheni ya al Ikhbariya ya Syria imetangaza habari ya kuwepo hospitali za majangwani nchini Uturuki zinazotumiwa kufanya magendo ya viungo vya binadamu vya wananchi wa Syria. Taarifa zinasema kuwa, hospitali hizo zilizoko kwenye mpaka wa Uturuki na Syria zinatuhumiwa kuwa zinatumiwa kupora viungo vya Wasyria waliojeruhiwa na wale waliouawa. Taarifa hizo zinasema kuwa,

Zidan: Libya haitaomba msaada wa NATO

Zidan: Libya haitaomba msaada wa NATO

Waziri Mkuu wa Libya amesema kuwa, nchi yake kamwe haitaomba msaada wa vikosi vya NATO kwa ajili ya kuingilia mgogoro wa ndani nchini humo. Ali Zidan amekadhibisha vikali uvumi juu ya uwezekano wa kuingilia kijeshi vikosi vya Nato nchini Libya na kusisitiza kuwa, uvumi huo unatolewa kwa shabaha ya kutia doa utendaji wa serikali ya

Mgomo wakwamisha safari za ndege Ujerumani

Mgomo wakwamisha safari za ndege Ujerumani

Shirika la ndege la Lufthansa linalomilikiwa na serikali ya Ujerumani limelazimika kufutilia mbali safari za ndani ya nchi, zile za bara Ulaya na hata za kimataifa kutokana na mgomo wa wafanyakazi wake wakiwemo marubani. Lufthansa ambalo ni miongoni mwa mashirika makubwa ya usafiri wa ndege duniani linakabiliwa na matatizo makubwa ya fedha na wafanyakazi wameamua

Wafungwa wa Guantamano wagoma kula chakula

Wafungwa wa Guantamano wagoma kula chakula

Afisa mmoja wa jeshi la Marekani amesema kuwa zaidi ya nusu ya wafungwa wanaoshikiliwa katika jela ya Guantanamo wako katika mgomo wa kula chakula wakilalamikia mazingira ya jela hiyo na kufungwa kwao bila ya kushtakiwa au kupatikana na hatia kwa zaidi ya muongo mmoja sasa. Luteni Kanali Samuel House wa jeshi la Marekani amesema kuwa

185 wauawa katika mapigano nchini Nigeria

185 wauawa katika mapigano nchini Nigeria

Watu wasiopungua 185 wameuliwa kaskazini mashariki mwa Nigeria katika mapigano kati ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo na wapiganaji wa Boko Haram. Lewa Kole afisa wa serikali za mitaa amemueleza gavana wa jimbo la Borno Kashin Shettima kuwa mapigano yalianza Ijumaa iliyopita huko Baga katika jimbo la Borno na kudumu kwa masaa kadhaa. Hata

Azam tutashinda ugenini – Hall

Azam tutashinda ugenini – Hall

Kocha wa Azam, Stewart Hall, amesema kwamba timu yake bado ina nafasi kubwa ya kusonga mbele katika mashindano ya Kombe la Shirikisho licha ya kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya AS FAR Rabat ya Morocco katika mechi yao ya kwanza kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam juzi. Azam na wapinzani hao watarudiana

Lowassa: Waandishi wa habari zingatieni uadilifu

Lowassa: Waandishi wa habari zingatieni uadilifu

Edward Lowassa, akipeana mkono na Askofu wa Kanisa la Overcomers, Dk. Boaz Sollo (kuhsoto), baada ya Askofu huyo kumkabidhi Lowassa tuzo. Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, amevitaka vyombo vya habari nchini kuhakikisha kuwa vinafanya kazi zake kwa uadilifu mkubwa ili kushiriki katika kutunza amani ambayo ndiyo tunu kubwa nchini. Akizungumza katika

Bunge kuendeleo na vikao vyake leo mjini Dodoma

Bunge kuendeleo na vikao vyake leo mjini Dodoma

Naibu Spika, Job Ndugai. Bunge leo linaendelea na kikao chake huku wabunge sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliozuiwa kuingia ndani ya ukumbi huo kwa muda wa siku tano wakiwa wamebakiza siku moja kumaliza adhabu yao. Wabunge hao na majimbo yao katika mabano ni  Tundu Lissu (Singida Mashariki), Highness Kiwia (Ilemela), Eziekiel Wenje

Waziri awakata maini wabunge

Waziri awakata maini wabunge

Waziri wa  Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka, ameungana na wananchi wanaotaka Katiba Mpya iweke kipengele ambacho kitapiga marufuku wabunge kuwa mawaziri. Kabaka aliyasema hayo mjini hapa jana alipokuwa akiwasilisha mada kwenye semina ya wabunge ambao ni wanachama wa Chama cha Wabunge Wanaopambana na Rushwa (APNAC). Semina hiyo ya siku moja, ilikuwa ni ya kuimarisha uwajibikaji