Category: Mengineyo
Alkhamisi, 29 Machi, 2012
Siku kama ya leo miaka 33 iliyopita kura ya maoni ya nchi nzima kwa ajili ya kuainisha mfumo wa utawala nchini Iran ilianza baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuanguka utawala wa Pahlavi hapa nchini. Kura hiyo ya maoni iliendeshwa kwa siku mbili kutokana na kuungwa mkono kwa kiasi kikubwa na wananchi Waislamu
Mwanadamu, Dini na Suluhisho la Matatizo ya Kinafsi
Assalaamu Alaykum, huu ni mfululizo wa makala za Mwanadamu, Dini na Suluhisho la Matatizo ya Kinafsi. Ni matumaini yetu utaweza kukunufaisheni vya kutosha Moja ya mambo ambayo leo hii yanawashughulisha mno wasomi na wanafikra ni suala la utulivu na uzima wa akili na nafsi. Wataalamu wengi wa elimu nafsi, tiba nafsia au taaluma na tiba
Jumatano, Machi 28, 2012
Siku kama ya leo miaka 1428 iliyopita Bi Zainab (s.a) binti mtukufu wa Imam Ali a.s na Bibi Fatima alizaliwa. Bibi Zainab alikuwa mashuhuri miongoni mwa wananchi kutokana na maarifa na elimu kubwa aliyokuwanayo. Katika tukio la Karbala, Bi Zainab (s.a) alisimama kidete na kukabiliana barabara na dhulma za watawala madhalimu na majahili wa zama





