Category: Mengineyo

Dua 25 za Qur’ani Tukufu

Dua 25 za Qur’ani Tukufu

Dua 25 za Qur’ani Tukufu Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur’ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika kitabu cha Allamah Majlisi cha Ainul Hayat. Ni dua nzuri sana ambazo Muislamu anatakiwa kuzisoma mara kwa mara katika maisha yake. Kutoka Ain-ul-Hayat: Allamah Majlisi Quranic Duas Book Tarjama ya Kiswahili imewekwa na

Jumatatu, Aprili 9, 2011

Jumatatu, Aprili 9, 2011

Jumatatu, Aprili 9, 2011 Leo ni Jumatatu tarehe 17 Mfunguo 8 Jamadul Awwal mwaka 1433 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 9 Aprili 2012 Miladia. Siku kama ya leo miaka 64 iliyopita utawala ghasibu wa Israel ulifanya mauaji ya kinyama katika kijiji cha Deir Yassin huko magharibi mwa Baitul Muqaddas. Mauaji hayo yalifanyika wakati wa vita vya

Jumapili, Aprili 8, 2012

Jumapili, Aprili 8, 2012

Jumapili, Aprili 8, 2012 Leo ni Jumapili tarehe 16 Jamadal Awwal mwaka 1433 Hijiria inayosadifiana na tarehe 8 Aprili mwaka 2012 Miladia. Miaka 32 iliyopita mwafaka na siku kama hii ya leo utawala wa Baathi nchini Iraq uliwaua Shahidi Sayyid Muhammad Baqir As-Sadr na dada yake Bintul Huda. Akiwa mtoto Swadri alijifunza Qur’ani Tukufu na

Ijumaa, Aprili 6, 2012

Ijumaa, Aprili 6, 2012

Ijumaa, Aprili 6, 2012 Leo ni Ijumaa tarehe 14 Jamadi Awwal mwaka 1433 Hijria sawa na tarehe 6 mwezi Aprili mwaka 2012 Miladia Siku kama ya leo miaka 18 iliyopita Wahutu wenye misimamo mikali wa Rwanda walianzisha mauaji makubwa dhidi ya Watutsi. Katika mauaji hayo Wahutu wenye misimamo mikali waliwauwa raia wa Kitutsi na Wahutu

Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kuongezwa kiwango cha uwezo wa kujihami

Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kuongezwa kiwango cha uwezo wa kujihami

Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kuongezwa kiwango cha uwezo wa kujihami Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito kwa Vikosi vya Ulinzi nchini kudumisha na kuimarisha moyo wa kidini na wa kumtegemea Mwenyezi Mungu sambamba na kuongeza uwezo wa kujihami. Ayatullahil Udhma Sayyed Ali Khamenei alitoa wito huo siku ya Jumatano mbele ya hadhara

Kufutwa kabisa sigara, njia ya kuelekea kwenye afya na uzima

Kufutwa kabisa sigara, njia ya kuelekea kwenye afya na uzima

Kufutwa kabisa sigara, njia ya kuelekea kwenye afya na uzima Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami katika kipindi hiki maalumu kwa mnasaba wa siku ya kimataifa isiyokuwa na sigara. Ni matarajio yangu kuwa mtaendelea kuwa kando ya redio zenu kusikiliza niliyokuandalieni kwa leo. Tarehe 31 Mei imeainmishwa na nchi wanachama katika Shirika la Afya

Usafi na Utunzaji wa Meno ya Watoto

Usafi na Utunzaji wa Meno ya Watoto

Usafi na Utunzaji wa Meno ya Watoto Karibuni katika sehemu hii nyingine ya mfululizo wa makala za Ijue Afya Yako, ambapo leo nitazungumzia usafi na utunzaji wa meno ya watoto. Ninakaribisha maoni yenu kuhusu makala hizi. E-mail yetu utaipata mwishoni mwa makala hii. Karibuni. *********************************** Utunzaji wa meno ya watoto unahitaji uangalizi mkubwa kama ilivyo

Alkhamisi, Aprili 5, 2012

Alkhamisi, Aprili 5, 2012

Siku kama ya leo miaka 1422 iliyopita kwa mujibu wa baadhi ya mapokezi Bi Fatimatu-Zahra s.a binti mtukufu wa Mtume wa Uislamu s.aw na mke wa Imam Ali bin Abi Twalib a.s alikufa shahidi baada ya kuishi maisha mafupi lakini yaliyojaa darsa kubwa za kiakhlaqi na kimaanawi. Bibi Fatima alikuwa pamoja na Mtume wa Mwenyezi

Jumatano, Aprili 4, 2012

Jumatano, Aprili 4, 2012

Bhutto ambaye alikuwa mwasisi wa Chama cha Wananchi alikuwa Rais wa Pakistan mwaka 1971. Mwaka 1977 Jenerali Muhammad Dhiaul Haq alifanya mapinduzi na kumuondoa madarakani Bhutto akimtuhumu kwa kufanya mauaji na kuisaliti Pakistan. Hatimaye tarehe 4 Aprili mwaka 1979 Zulfiqar Ali Bhutto alinyongwa, licha ya viongozi wa baadhi ya nchi duniani kutaka asamehewe. Miaka 44

Ijumaa, Machi 30, 2012

Ijumaa, Machi 30, 2012

Siku kama ya leo miaka 36 iliyopita maandamano makubwa kwa jina la “Yaumul Ardh” au Siku ya Ardhi yalifanyika huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu. Ni vyema kuashiria hapa kuwa tarehe 18 Oktoba mwaka 1975 mkutano wa kutetea ardhi ulifanyika katika eneo la Jalil kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Katika azimio la