Category: Mengineyo
Jumatatu, Aprili 15, 2013
Siku kama ya leo miaka 19 iliyopita, ulitiwa saini mkataba wa kuanzisha Shirika la Biashara Duniani (WTO) nchini Morocco. Utangulizi wa kuasisiwa shirika hilo ulifanywa na Marekani na Uingereza wakati wa Vita vya Pili vya Dunia na kwa msingi huo, mwaka 1947 nchi 23 zilizoendelea zilitia saini makubaliano ya kuanzisha GATT. Makubaliano hayo yalisisitiza juu
Jumamosi, Aprili 13, 2013
Siku kama ya leo miaka 94 iliyopita, kulijiri tukio la umwagaji damu mkubwa katika Bustani ya Jallianwala Bagh nchini India. Mwaka 1919 serikali ya kikoloni ya Uingereza ilipasisha sheria inayowapa polisi haki ya kuwatia nguvuni wanaharakati wa India bila ya sababu yoyote na kwa muda usiojulikana kwa shabaha ya kuzuia uasi na mapambano ya ukombozi
Ijumaa 1 Jamadi Thani 1434 Hijria
Siku kama ya leo miaka 775 iliyopita alifariki dunia faqihi, mwanahistoria na mwanafasihi wa Kiislamu wa Andalusia Ibn Sayyidunnas. Alizaliwa mwaka 597 Hijria kandokando ya mji wa Seville katika Uhispania ya sasa na kupata elimu katika eneo hilo. Ibn Sayyidunnas alitumia sehemu kubwa ya umri wake katika kufundisha na kulea wanafunzi wengi. Mwanahistoria huyo wa
Alkhamisi, 11 Aprili, 2013
Siku kama ya leo miaka 16 iliyopita na siku moja tu baada ya mahakama moja ya Ujerumani kutoa hukumu dhidi ya viongozi kadhaa wa nagazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya ziliwaita nyumbani mabalozi wao kutoka mjini Tehran. Jaji wa mahakama hiyo iliyopata umarufu kwa jina la
Jumatano, Aprili 10, 2013
Siku kama ya leo miaka 25 iliyopita, inayosadifiana na 21 Farvardin 1367 Hijria Shamsia, ndege za kivita za Iraq ziliushambulia mji wa Marivan magharibi mwa Iran na kukilenga kijiji kimoja kwa mabomu ya kemikali. Raia kadhaa waliuawa shahidi na kujeruhiwa katika jinai hizo zilizofanywa na ndege za utawala wa Saddam Hussein. Licha ya utawala wa
Jumanne, Aprili 09, 2013
Siku kama ya leo miaka 7 iliyopita, inayosadifiana na tarehe 20 Farvardin 1385 Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilifanikiwa kupata teknolojia ya kurutubisha madini ya urani kwa ajili ya matumizi ya kiraia. Wasomi na wataalamu wa Iran walifanikiwa kukamilisha mfumo wa kuzalisha nishati ya nyuklia licha ya mbinyo na vikwazo vya nchi za kibeberu. Kwa
Jumapili, Aprili 07, 2013
Siku kama ya leo miaka 1153 iliyopita, alifariki duania Abu Hanifah Ahmad bin Daud Dinuri. Dinuri alibobea katika elimu za nahau, lugha, fasihi, hesabu, nyota na balagha. Mbali na Dinuri kutabahari katika elimu mbalimbali za kidini, alikuwa na utaalamu katika elimu ya falsafa. Miongoni mwa athari za mwanazuoni huyo ni pamoja na vitabu vya “al-Shi’ri
Jumamosi, Aprili 06, 2013
Siku kama ya leo miaka 49 iliyopita, kufuatia upinzani na mapambano ya wananchi wa Iran, Imam Khomeini muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliachiliwa huru. Imama Khomeini alikuwa ametiwa mbaroni na makachero wa vyombo vya usalama vya utawala wa Shah, kufuatia hotuba yake iliyofuchua njama za utawala huo. Hata hivyo baada ya kutiwa mbaroni
Ijumaa, 05 Aprili, 2013
Leo ni Ijumaa tarehe 24 Jamadil Awwal mwaka 1434 Hijria, sawa na tarehe 5 Aprili 2013. Siku kama ya leo miaka 57 iliyopita, inayosadifiana na tarehe 5 Aprili 1956, yalimalizika mashambulizi ya kinyama ya majeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina katika eneo la Ukanda wa Gaza. Majeshi ya utawala
Alkhamisi, 04 Aprili, 2013
Leo ni Alkhamisi tarehe 23 Jamadil Awwal mwaka 1434 Hijria, inayosadifiana na tarehe 4 Aprili 2013. Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita Zulfiqar Ali Bhutto, Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan alinyongwa. Bhutto ambaye alikuwa mwasisi wa Chama cha Wananchi alikuwa Rais wa Pakistan mwaka 1971. Mwaka 1977 Jenerali Muhammad Dhiaul Haq alifanya mapinduzi





