Category: Mengineyo

Jumanne, Oktoba 23, 2012

Jumanne, Oktoba 23, 2012

Siku kama ya leo miaka 1319 iliyopita ambayo ni sawa na tarehe 7 Dhilhaji mwaka 114 Hijiria, aliuawa shahidi Imam Muhammad Baqir (a.s), mjukuu wa Mtume wa Uislamu Muhammad (s.a.w) akiwa na umri wa miaka 57. Imam Baqir (a.s) alizaliwa mwaka 57 Hijiria katika mji wa Madina. Imam huyo aliishi katika zama za watawala madhalimu

Jumatatu, Oktoba 22, 2012

Jumatatu, Oktoba 22, 2012

Siku kama ya leo miaka 26 iliyopita, sawa na tarehe 6 Dhilhaji mwaka 1407 Hijiria, mamia ya mahujaji wa Kiirani na mahujaji kadhaa wa nchi nyinginezo wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu waliuawa shahidi na askari wa serikali ya Saudi Arabia, walipokuwa wakitekeleza faradhi ya kujibari na kujiweka mbali na washirikina. Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi

Jumamosi, Agosti 20, 2012

Jumamosi, Agosti 20, 2012

Leo ni Jumamosi tarehe 4 Mfunguo Tatu Dhulhijjah mwaka 1433 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 20 Oktoba mwaka 2012 Miladia. Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita, wafanyakazi wa viwanda vya mafuta hapa nchini Iran na katika kujiri kwa mapambano ya wananchi dhidi ya utawala wa kiimla wa Shah, walianzisha mgomo wa nchi nzima dhidi ya

Ijumaa, 3 Dhil Hija, 19 Oktoba 2012

Ijumaa, 3 Dhil Hija, 19 Oktoba 2012

Siku kama ya leo miaka 36 iliyopita Ali Hassan Salameh ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) aliuawa shahidi na maajenti wa shirika la ujasusi la Israel (MOSSAD) huko Lebanon. Salameh ambaye alikuwa afisa anayeshughulikia masuala ya usalama ya PLO aliuawa kigaidi kutokana na bomu lililokuwa

Marekani yaafiki propaganda dhidi ya Uislamu

Marekani yaafiki propaganda dhidi ya Uislamu

Marekani yaafiki propaganda dhidi ya Uislamu Mahakama ya Washington DC nchini Marekani imetoa kibali cha kuwekwa mabango na matangazo yaliyokuwa dhidi ya dini ya Kiislamu kwenye vituo vya treni za chini kwa chini mjini humo. Taarifa zinasema kuwa, uamuzi huo umetolewa kwa kisingizio cha kuwepo eti uhuru wa kujieleza nchini humo. Mahakama ya Washington DC

Ubora wa Mwanaadamu uko katika hulka njema

Ubora wa Mwanaadamu uko katika hulka njema

                                                    Ubora wa Mwanaadamu uko katika hulka njema Iwapo katika historia ya mwanaadamu kuna watu waliopata mafanikio makubwa, hakuna shaka kuwa fakhari waliyoleta ilitokana na umaanawi na maadili au akhlaqi bora. Jamii ambayo huwa haina maadili na kuwa mbali na mafundisho ya kibinaadamu huwa katika mkondo wa kuangamia kimaadili. Wataalamu wa masuala ya kijamii wanasema

Jumatano, Oktoba 17, 2012

Jumatano, Oktoba 17, 2012

Leo ni Jumatano tarehe Mosi Dhilhijja mwaka 1433 Hijria sawa na tarehe 17 Oktoba 2012 Miladia. Siku kama ya leo miaka 1431 iliyopita Binti wa Mtume Muhammad (saw) Fatima al Zahraa (as) alifunga ndoa na Imam Ali bin Abi Twalib (as). Bibi Fatima alikuwa mwanamke mwema aliyejipamba kwa sifa zote nzuri ambaye alichumbiwa na shakhsia

Jumanne, Oktoba 16, 2012

Jumanne, Oktoba 16, 2012

Siku kama ya leo miaka 1213 iliyopita, Imam Muhammad Taqi AS mmoja wa wajukuu wa Bwana Mtume Muhammad SAW aliuawa shahidi. Mtukufu huyo alipewa jina la ‘Jawad’ likiwa na maana ya mtu mkarimusanakutokana na ukarimu wake mkubwa. Imam Jawad alizaliwa katika mwezi wa Ramadhani mwaka 195 Hijria na akawa Imam na kiongozi wa umma wa

Jumatatu, Oktoba 15, 2012

Jumatatu, Oktoba 15, 2012

Siku kama ya leo miaka 168 iliyopita alizaliwa mwanafalsafa wa Kijerumani Friedrich Wilhelm Nietzsche. Baada ya kuhitimu masomo, Nietzsche alianza kufunza katika Chuo Kikuu cha Basel. Mwanafalsafa huyo alikuwa akipinga dini na misingi ya kimaadili na katika falsafa na mitazamo yake alikuwa akiamini nadharia ya “Superman”, kwa maana ya mtu mwenye uwezo kupita kiasi. Nietzsche

UISLAMU UMESEMA KABLA-IV

UISLAMU UMESEMA KABLA-IV

TOLEO LA IJUMAA Na.26 20 Shawwal 1433H/7 September 2012  UISLAMU UMESEMA KABLA-IV Ø Kuzuia hasira ni bora zaidi kiafya kuliko kukasirika: Mnamo karne ya saba Mtume wa Uislamu Muhammad (saww) alitukataza na kukasirika akatutaka tuzuie hasira zetu pale tunapoudhiwa.Alikuja mtu mmoja kwa Bwana Mtume (saww) akamwambia,ewe Mtume wa Mwenyeezi Mungu niusie,Bwana Mtume (saww) akamwambia USIGHADHIBIKE,yule