Category: Mengineyo
Alkhamisi, Mei 23, 2013
Siku kama ya leo miaka 107 yaani mwaka 1906 Miladia aliaga dunia Henrik Ibsen mwandishi wa tamthiliya wa nchini Norway. Alizaliwa mwaka 1828 kusini mwa Norway. Shauku na mapenzi ya Ibsen ya kuwa mwandishi wa tamthiliya ndiyo yaliyomsukuma kwenye taaluma hiyo. Mwandishi huyo wa Kinorway ameandika drama na tamthiliya nyingi. Moja kati ya tamthmliya zake
Jumatano, Mei 22, 2013
Miaka 128 iliyopita katika siku kama hii mwaka 1885 aliaga dunia Victor Hugo mwandishi na malenga mashuhuri wa Kifaransa akiwa na umri wa miaka 83. Hugo alikuwa muungaji mkono mkuu wa mabadiliko kwa maslahi ya matabaka ya wanyonge na masikini nchini humo. Victor Hugo alijitumbukiza kwenye uwanja wa kisiasa akiwa na miaka 25 na kufanikiwa
Jumanne, Mei 21, 2013
Siku kama ya leo miaka 1239 iliyopita sawa na 10 Rajab 195 Hijria, alizaliwa katika mji mtakatifu wa Madina, Imam Muhammad Taqi mmoja wa watu wa Nyumba Tukufu ya Bwana Mtume SAW. Imam Taqi AS alichukua jukumu la kuuongoza umma wa Kiislamu baada ya kuuawa shahidi baba yake yaani Imam Ridha AS Mtukufu huyo alikuwa
Jumatatu, Mei 20, 2013
Miaka 53 iliyopita katika siku kama ya leo mnamo tarehe 20 mwezi Mei mwaka 1960, nchi ya Kiafrika ya Cameroon ilitangaza kupata uhuru wake chini ya mfumo wa jamhuri na siku kama hii hujulikana kama siku ya taifa nchini humo. Ni vyema kuashiria hapa kuwa Cameroon kwa miaka kadhaa ilikoloniwa na Ufaransa na Uingereza na
Jumamosi, Mei 18, 2013
Siku kama ya leo miaka 39 iliyopita, nchi ya India ilifanya jaribio la kwanza la nyuklia katika jangwa la Rajasthan magharibi mwa nchi hiyo na jirani mpaka wake na Pakistan. Kwa utaratibu huo, India nayo ikawa nchi ya sita iliyo na nguvu za nyuklia. Kabla ya hapo, Marekani, Umoja wa Kisovieti, Ufaransa, Uingereza na China
Ijumaa, Mei 17, 2013
Siku kama ya leo tarehe 27 Ordibehesht miaka 4 iliyopita alifariki dunia Ayatuhil Udhma Muhammad Taqi Bahjat Foumani, mmoja wa Marajii Taqlidi na maurafaa wakubwa wa Kishia. Alizaliwa mwaka 1294 Hijria Shamsia katika mji wa Fouman ulioko katika mkoa wa Gilan kaskazini mwa Iran. Baada ya kupata elimu ya msingi ya kidini, mwaka 1308 Hijria
Alkhamisi, Mei 16, 2013
Siku kama ya leo miaka 16 iliyopita, Jenerali Mobutu Sese Seko dikteta wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zamani Zaire, aliikimbia nchi hiyo baada ya vikosi vya majeshi ya waasi vilivyokuwa vikiongozwa na Laurent Kabila kukaribia mjini Kinshasa. Mobutu alichukua madarakani mwaka 1965 kwa mapinduzi na kutawala kwa muda wa miaka 32. Licha
Jumatano, Mei 15, 2013
Tarehe 15 Mei miaka 237 iliyopita katika siku kama hii ilitengenezwa meli ya kwanza yenye kutumia mvuke. Meli inayotumia nishati ya mvuke ilitengenezwa miaka 70 baada ya kuvumbuliwa nishati ya mvuke na mhandisi wa Kifaransa Denis Papin. Utumiaji wa nishati ya mvuke katika meli ulileta mabadiliko makubwa katika sekta ya usafiri wa baharini. Siku kama
REFLECTIONS ISSUE 23
Allah sets forth an example: A man jointly owned by several contending masters, and a man belonging entirely to one man: are the two equal in comparison? All praise belongs to Allah; but most of them do not know. – Sura Zumar, 39:29 The Holy Quran abounds with parables, or examples. It is part of
Jumanne, Mei 14,2013
Tarehe tatu Rajab miaka 1180 iliyopita, Imam Ali Naqi (as) mmoja wa wajukuu wa Mtume Muhammad (s.a.w) aliuawa shahidi. Alizaliwa mwaka 212 katika mji mtakatifu wa Madina. Alikua na kulelewa chini ya uangalizi wa baba yake yaani Imam Jawad AS. Baada ya kuuawa shahidi baba yake, Imam Ali al-Hadi alichukua jukumu la kuwaongoza Waislamu. Imam





