Category: Habari za Kitaifa

Watakaofanya vizuri kidato cha nne kwenda China

Watakaofanya vizuri kidato cha nne kwenda China

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa Serikali ya Tanzania na China zimekubaliana kutoa fursa kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne na kufaulu vizuri   kujiunga na elimu ya vyuo vikuu nchini China. Lengo la makubaliano hayo ni kupunguza wimbi kubwa la vijana wanaoendelea na vidato vya juu, ili kutoa fursa kwa baadhi

Askari waliombambikizia raia kesi wafukuzwa kazi

Askari waliombambikizia raia kesi wafukuzwa kazi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fausitine Shilogile Siku chache kufuatia askari wa tatu wa Jeshi la Polisi wa kituo cha Dumila wilayani Kilosa na Dakawa wilayani Mvomer, mkoani Morogoro kutuhumiwa kumbambikizia kesi mfanyabiashara Samson Mwita maarufu kama Mura, mkazi wa Dumila kuwa alikutwa na fuvu la kichwa cha binadamu,  hatimaye askari hao wamefukuzwa kazi

Polisi lamshikilia askari wake kwa kutorosha mtuhumiwa

Polisi lamshikilia askari wake kwa kutorosha mtuhumiwa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas Jeshi la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia Ofisa wa jeshi hilo, Inspekta Isaack Manoni kwa tuhuma za kumtorosha mtuhumiwa wa usafirishaji magunia ya bangi,Koplo Edward, ambaye alikuwa dereva wa gari la Polisi lenye magunia hayo, namba za usajili T. 2025 Toyota Land Cruser. Akizungumzia tukio hilo jana, Kamanda

Rais Kikwete awageukia wezi kwenye ujenzi

Rais Kikwete awageukia wezi kwenye ujenzi

Rais Jakaya Kikwete ameziagiza mamlaka zote zinazosimamia ujenzi wa barabara ya Iringa-Dodoma kutowafumbia macho watu wachache wanaokwamisha kukamilika kwa  mradi huo kutokana na tamaa ya fedha. Akiweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya Iringa-Dodoma yenye urefu wa kilometa 260, Rais Kikwete alisema mamlaka zinazohusika zisipodhibiti wizi huo, miradi ya ujenzi ukiwamo wa Iringa unaweza

TEF yatetea hotuba ya kambi ya upinzani bungeni

TEF yatetea hotuba ya kambi ya upinzani bungeni

Katibu wa Jukwaa la Wahariri, Nevile Meena Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limesema halioni kama kulikuwa na hali ya uchochezi kwenye hotuba iliyowasilishwa na Msemaji wa Kambi ya Upinzani Bungeni Dodoma juzi, kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo. Akizungumza na NIPASHE jijini Dar es Salaam jana, Katibu

Uhaba vifaa elektroniki wachelewesha vitambulisho

Uhaba vifaa elektroniki wachelewesha vitambulisho

Speaker of the National Assembly Anne Makinda has rejected a specific motion by Ubungo lawmaker John Mnyika, who wanted the House to repeal Parliamentary Standing Orders Article 64 (1C) which prevents legislators to discuss matters awaiting ruling in court or in the House. “The constitution of the United Republic of Tanzania Article 100, which gives

Mbunge aishangaa hotuba bajeti Wizara Habari

Mbunge aishangaa hotuba bajeti Wizara Habari

Mbunge wa Nzega (CCM), Dk. Hamis Kigwangalah Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Rebecca Mngodo, amesema ameshangaa kuona hotuba yote ya bajeti ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kutozungumzia kutekwa, kuteswa na kuuawa kwa waandishi wa habari ingawa wako chini ya wizara hiyo. Amesema ingawa baadhi ya wabunge wamezungumzia kutekwa na kuteswa kwa Mwenyekiti

Obama kutua mwezi ujao

Obama kutua mwezi ujao

Ziara ya siku nane ya Rais wa Marekani, Barak Obama na mkewe Michelle katika nchi za Tanzania, Afrika Kusini na Senegal, imeelezwa kuwa ina lengo la kuimarisha ukuaji wa uchumi, uwekezaji na biashara, uimarishaji wa taasisi za kidemokrasia na uwekezaji katika kizazi kipya cha viongozi wa Afrika. Wakati wa ziara hiyo, itakayodumu kuanzia Juni 26

Wadau kujadili vipaumbele vya Taifa Ijumaa

Wadau kujadili vipaumbele vya Taifa Ijumaa

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue Wadau na wananchi watatoa maoni kuhusu uchambuzi wa kimaabara uliofanywa na wataalamu 300 kwa lengo la kupata suluhisho dhidi ya changamoto kubwa zilizopo katika maeneo yatakayoleta matokeo makubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini. Fursa hiyo iliyotolewa kwa wadau, ni hatua ya tatu kati ya nane za utekelezaji

Muswada wa Uhuru wa Habari waendelea kupigwa dada dana

Muswada wa Uhuru wa Habari waendelea kupigwa dada dana

Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,Dk. Fenella Mukangara Serikali kwa mara nyingine tena imeendelea kuupiga dana dana muswada wa uhuru wa habari tofauti na ambavyo imekuwa ikiahidi siku za hivi karibuni kuwa utawasilishwa bungeni. Katika  hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo iliyowasilishwa jana