Category: Habari za Kitaifa
Watakaofanya vizuri kidato cha nne kwenda China
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa Serikali ya Tanzania na China zimekubaliana kutoa fursa kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne na kufaulu vizuri kujiunga na elimu ya vyuo vikuu nchini China. Lengo la makubaliano hayo ni kupunguza wimbi kubwa la vijana wanaoendelea na vidato vya juu, ili kutoa fursa kwa baadhi
Askari waliombambikizia raia kesi wafukuzwa kazi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fausitine Shilogile Siku chache kufuatia askari wa tatu wa Jeshi la Polisi wa kituo cha Dumila wilayani Kilosa na Dakawa wilayani Mvomer, mkoani Morogoro kutuhumiwa kumbambikizia kesi mfanyabiashara Samson Mwita maarufu kama Mura, mkazi wa Dumila kuwa alikutwa na fuvu la kichwa cha binadamu, hatimaye askari hao wamefukuzwa kazi
Polisi lamshikilia askari wake kwa kutorosha mtuhumiwa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas Jeshi la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia Ofisa wa jeshi hilo, Inspekta Isaack Manoni kwa tuhuma za kumtorosha mtuhumiwa wa usafirishaji magunia ya bangi,Koplo Edward, ambaye alikuwa dereva wa gari la Polisi lenye magunia hayo, namba za usajili T. 2025 Toyota Land Cruser. Akizungumzia tukio hilo jana, Kamanda
Rais Kikwete awageukia wezi kwenye ujenzi
Rais Jakaya Kikwete ameziagiza mamlaka zote zinazosimamia ujenzi wa barabara ya Iringa-Dodoma kutowafumbia macho watu wachache wanaokwamisha kukamilika kwa mradi huo kutokana na tamaa ya fedha. Akiweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya Iringa-Dodoma yenye urefu wa kilometa 260, Rais Kikwete alisema mamlaka zinazohusika zisipodhibiti wizi huo, miradi ya ujenzi ukiwamo wa Iringa unaweza
TEF yatetea hotuba ya kambi ya upinzani bungeni
Katibu wa Jukwaa la Wahariri, Nevile Meena Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limesema halioni kama kulikuwa na hali ya uchochezi kwenye hotuba iliyowasilishwa na Msemaji wa Kambi ya Upinzani Bungeni Dodoma juzi, kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo. Akizungumza na NIPASHE jijini Dar es Salaam jana, Katibu
Uhaba vifaa elektroniki wachelewesha vitambulisho
Speaker of the National Assembly Anne Makinda has rejected a specific motion by Ubungo lawmaker John Mnyika, who wanted the House to repeal Parliamentary Standing Orders Article 64 (1C) which prevents legislators to discuss matters awaiting ruling in court or in the House. “The constitution of the United Republic of Tanzania Article 100, which gives
Mbunge aishangaa hotuba bajeti Wizara Habari
Mbunge wa Nzega (CCM), Dk. Hamis Kigwangalah Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Rebecca Mngodo, amesema ameshangaa kuona hotuba yote ya bajeti ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kutozungumzia kutekwa, kuteswa na kuuawa kwa waandishi wa habari ingawa wako chini ya wizara hiyo. Amesema ingawa baadhi ya wabunge wamezungumzia kutekwa na kuteswa kwa Mwenyekiti
Obama kutua mwezi ujao
Ziara ya siku nane ya Rais wa Marekani, Barak Obama na mkewe Michelle katika nchi za Tanzania, Afrika Kusini na Senegal, imeelezwa kuwa ina lengo la kuimarisha ukuaji wa uchumi, uwekezaji na biashara, uimarishaji wa taasisi za kidemokrasia na uwekezaji katika kizazi kipya cha viongozi wa Afrika. Wakati wa ziara hiyo, itakayodumu kuanzia Juni 26
Wadau kujadili vipaumbele vya Taifa Ijumaa
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue Wadau na wananchi watatoa maoni kuhusu uchambuzi wa kimaabara uliofanywa na wataalamu 300 kwa lengo la kupata suluhisho dhidi ya changamoto kubwa zilizopo katika maeneo yatakayoleta matokeo makubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini. Fursa hiyo iliyotolewa kwa wadau, ni hatua ya tatu kati ya nane za utekelezaji
Muswada wa Uhuru wa Habari waendelea kupigwa dada dana
Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,Dk. Fenella Mukangara Serikali kwa mara nyingine tena imeendelea kuupiga dana dana muswada wa uhuru wa habari tofauti na ambavyo imekuwa ikiahidi siku za hivi karibuni kuwa utawasilishwa bungeni. Katika hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo iliyowasilishwa jana





