Category: Habari

Zambi aibana serikali kauli ya Dk. Hoseah

Zambi aibana serikali kauli ya Dk. Hoseah

                                                   Mbunge wa Mbozi Mashariki(CCM),Godfrey Zambi Mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi (CCM), ameitaka serikali kutoa tamko kuhusu kauli ya Mkurugezi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hosea, kuwa amefungwa mikono kuwashtaki vigogo wanaojihusisha na rushwa kubwa kubwa badala yake amepewa uwezo wa kushitaki makosa madogo madogo “Hii kauli

SMZ yaeleza mabadiliko mambo ya muungano yanavyofanyika

                                                                                Mohammed Aboud Mabadiliko katika orodha ya mambo ya Muungano yamekuwa yakifanyika kwa kuzingatia Katiba na sheria kwa madhumuni ya kuimarisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hayo yalisemwa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mohammed Aboud, wakati akijibu swali la Mwakilishi Saleh Nassor Juma wa Jimbo la

Wabunge waitahadharisha serikali kuhusu manunuzi

Wabunge waitahadharisha serikali kuhusu manunuzi

                                         Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge Ongezeko la manunuzi na matumizi makubwa ya serikali, ambalo hayaendi sambamba na ongezeko la juhudi za ukusanyaji wa mapato, yataendelea kuwa mzigo mzito kwa taifa iwapo hatua hazitachukuliwa kurekebisha hali hiyo. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, alisema hayo bungeni jana wakati

Wakulima wamwaga dawa zenye kemikali vyanzo vya maji

Wakulima wamwaga dawa zenye kemikali vyanzo vya maji

                                                                                              NEMC Baadhi ya wakulima waliopo katika kata ya Malindi, wilaya ya Lushoto, wanadaiwa kumwaga dawa zenye kemikali za sumu katika vyanzo vya maji hali iliyozusha hofu kubwa kwa wakazi wa maeneo hayo kukumbwa na magonjwa hatari ikiwemo saratani.Hayo yamebainika baada ya uchunguzi uliofanywa na viongozi wa Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira (NEMC)

`Wafichueni viongozi wazembe`

`Wafichueni viongozi wazembe`

                                                                 Chama Cha Mapinduzi (CCM) Chama cha Mapinduzi CCM kimewataka wananchi kuwafichua na kuwataja viongozi na watendaji wabovu ili waweze kushughulikiwa kabla hawajawa kero.Wito huo ulitolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya chama hicho wilaya ya Tanga, Kassim Kisauji, wakati akizindua Chuo cha Biashara cha Masuguru kilichopo mjini Muheza.  Kisauji ambaye ni

Jumanne, Juni 18, 2013

Jumanne, Juni 18, 2013

Leo ni Jumanne  tarehe 9 Shaaban mwaka 1434  Hijria sawa na tarehe 18 Juni 2013 Miladia Siku kama ya leo miaka 60 iliyopita inayosadifiana na tarehe 18 Juni 1953 nchi ya Misri ilitangazwa kuwa ya Jamhuri, na kupelekea Mfalme Farouq wa Misri na wanawe kubaidishwa. Kufuatia kushindwa Misri katika vita na Israel mwaka 1948 wananchi

Libya kusikiliza kesi ya mtoto wa Gaddafi

Libya kusikiliza kesi ya mtoto wa Gaddafi

Mahakama ya Libya imetangaza kuwa kesi inayowakabili Seiful Islam Gaddafi mtoto  wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Kanali Muammar Gaddafi na Abdullah Sanusi Mkuu wa zamani wa shirika la Kiintelijinsia la nchi hiyo itasikilizwa mwezi Agosti mwaka huu nchini humo. Serikali ya Libya imekataa kuwakabidhi watuhumiwa hao wa mauaji ya wananchi wa nchi hiyo wakati wa

Mwangwi wa uchaguzi wa rais wa Iran

Mwangwi wa uchaguzi wa rais wa Iran

Baada tu ya kutangazwa ushindi wa Dakta Hassan Rohani kuwa Rais mteule wa Iran katika duru ya 11 ya uchaguzi wa rais wa Iran, viongozi wa nchi mbalimbali duniani ikiwemo Marekani, Ujerumani, Uingereza, Ufaransa, Russia, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na mkuu wa siasa za nje wa Umoja wa Ulaya wametuma salamu za pongezi

Vikwazo haviathiri miradi ya nyuklia ya Iran

Vikwazo haviathiri miradi ya nyuklia ya Iran

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia IAEA amesema kuwa, licha ya kuongezwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran, lakini miradi ya nyuklia ya Iran inayofanyika kwa amani inazidi kuendelea na vikwazo hivyo havina athari yoyote kwa nchi hiyo. Yukiya Amano amesema kuwa, wakala wa IAEA una azma ya kuendeleza duru nyingine

Serikali ya UK yahitilafiana kuhusu mgogoro wa Syria

Serikali ya UK yahitilafiana kuhusu mgogoro wa Syria

                          Nick Clegg, kiongozi wa chama cha Liberal Democrat cha Uingereza   Mikakati ya Marekani na Uingereza ya kutaka kuwapatia  silaha  magaidi wa Syria, licha ya kukabiliwa na ukosoaji mkubwa wa vyama vya upinzani nchini Uingereza,  imezusha hitilafu na mpasuko kati ya washirika wa serikali ya mseto ya Uingereza  kuhusiana na kadhia hiyo ya Syria.