Articles By: admin
Ngasa: Nimerejea nyumbani Yanga
Mshambuliaji Mrisho Ngasa akitabasamu wakati akikabidhiwa jezi ya Yanga na katibu mkuu wa klabu hiyo Lawrence Mwalusako wakati wa mkutano na wanahabari jijini Dar es salaam kwa ajili ya kumtambulisha nyota huyo wa Azam aliyekuwa akichezea Simba kwa mkopo. Mshambuliaji wa Azam, Mrisho Ngasa, aliyekuwa akiitumikia klabu ya Simba kwa mkopo, na ambaye mkataba wake
Wadau kujadili vipaumbele vya Taifa Ijumaa
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue Wadau na wananchi watatoa maoni kuhusu uchambuzi wa kimaabara uliofanywa na wataalamu 300 kwa lengo la kupata suluhisho dhidi ya changamoto kubwa zilizopo katika maeneo yatakayoleta matokeo makubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini. Fursa hiyo iliyotolewa kwa wadau, ni hatua ya tatu kati ya nane za utekelezaji
Muswada wa Uhuru wa Habari waendelea kupigwa dada dana
Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,Dk. Fenella Mukangara Serikali kwa mara nyingine tena imeendelea kuupiga dana dana muswada wa uhuru wa habari tofauti na ambavyo imekuwa ikiahidi siku za hivi karibuni kuwa utawasilishwa bungeni. Katika hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo iliyowasilishwa jana
Polisi walionaswa wakisafirisha bangi watajwa
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, amewataja polisi wawili na gari la jeshi hilo ambalo walilitumia kusafirisha magunia 18 ya bangi kwenda Holili mpakani mwa Tanzania na Kenya. Aliwaja wkuwa ni dereva wa gari hilo Koplo Edward lenye namba za usajili PT 2025 aina ya Toyota Landcruiser linalotumiwa na Kikosi cha Kutuliza
Ujenzi barabara ya Dodoma-Iringa kuzinduliwa
Rais Jakaya Kikwete anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa miradi ya ujenzi wa barabara, Dodoma hadi Iringa yenye urefu wa kilomita 260 kwa kiwango cha lami. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Balozi Herbert Mrango. alisema kuwa uzinduzi huo utafanyika Mei 22, mwaka huu katika
Jumanne, Mei 21, 2013
Siku kama ya leo miaka 1239 iliyopita sawa na 10 Rajab 195 Hijria, alizaliwa katika mji mtakatifu wa Madina, Imam Muhammad Taqi mmoja wa watu wa Nyumba Tukufu ya Bwana Mtume SAW. Imam Taqi AS alichukua jukumu la kuuongoza umma wa Kiislamu baada ya kuuawa shahidi baba yake yaani Imam Ridha AS Mtukufu huyo alikuwa
10 wafungwa jela kwa kutetea hijabu Azerbaijan
Watu wasiopungua 10 wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha kati ya miezi 18 hadi 24 jela nchini Jamhuri ya Azerbaijan baada ya kupatikana na hatia ya kulalamikia marufuku ya uvaaji wa hijabu kwenye shule za nchi hiyo. Mahakama ya Baku imetoa hukumu hiyo kwa watu hao waliokuwa wakipinga marufuku iliyowekwa na serikali ya kuvaa hijabu mashuleni.
Real Madrid yamtaka Carlo Ancelotti
Sir Alex Ferguson was named the League Managers’ Association Manager of the Year after guiding Manchester United to a 20th title. Cardiff City’s Malky Mackay was the top Championship manager, while Yeovil Town’s Gary Johnson was honoured as League One Manager of the Year. Gillingham’s Martin Allen won the League Two manager’s award. “In a
Madrid yathibitisha kuachana na Mourinho
Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwa kocha wa timu hiyo Jose Mourinho ataondoka kwenye kibarua cha kuifundisha timu hiyo mwishoni mwa msimu. Rais wa klabu ya Real Madrid,Florentino Perez amewaambia waandishi wa habari jumatatu jioni kuwa Mourinho hatofukuzwa bali wamekubaliana kumaliza mkataba wao na kocha huyo raia wa Ureno. Aidha Madrid, imeongeza kuwa haijaanza mazungumzo
Villas-Boas: lazima Gareth Bale abaki
Andre Villas-Boas amesema ikiwa klabu ya Tottenham inataka kufanya vyema msimu ujao basi lazima wamuhifadhi mchezaji Gareth Bale. Spurs iliteleza kuingia katika michuano ya Klabu Bingwa bara Ulaya katika michuano ya siku ya mwisho wa Ligi kuu ya Uingereza baada ya Arsenal kuwafunga Newcastle 1-0 hivyo kumaliza ligi wakiwa alama moja juu ya Tottenham. Taarifa





